dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, October 23, 2012

DR. JUMA MALIK AKILI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. 
Dk. Ali Mohamed Shein leo amewaapisha baadhi ya Watendaji 
Wakuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar aliowateua hivi karibuni. Mmoja wao akiwa ni Katibu Mkuu Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano.
Huyu ni mwenye kazi nzito sana hasa baada ya msururo wa meli za ZNZ kuzama.

TUNAMTAKI KAZI YAKE NZITO 

IWE 

NYEPESI!

 Dk.Juma Malik Akili, 
Katibu Mkuu Wizara ya Miundimbinu na Mawasiliano


No comments :

Post a Comment