dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, October 25, 2012

Viongozi wa UAMSHO wanyolewa ndevu rumande!

Sheikh Farid Hadi Ahmed na wenzake sita wanaotuhumiwa kwa kutoa lugha za uchohezi leo wameshitakiwa kwa kosa jengine katika mahakama Kuu ya Vuga Mjini Unguja huku wakionekana wamefikishwa mahakamani hapo wakiwa wamenyolewa ndevu wote. Wakati watuhumiwa hao wanafikishwa mahakamani Mawakili wao Salim Tawfik na Abdallah Juma wamejitoa katika kesi hiyo kwa madai ya wateja wao kuwa hawakutendewa haki kwa kusumbuliwa kutokana na kucheleweshwa kuletwa mahakamani na vitendo wanavyofanyiwa

No comments :

Post a Comment