Pole sana Mhe Hamad Rashid!
Written by Ashakh (Kiongozi) // 28/11/2012
Mke wa Mhe Hamad Rashid, mbunge wa jimbo la Wawi, Bi Kisa amefariki dunia. Maziko yanatarajiwa kuwa kesho jioni huko nyumbani kwake Daressalam.
Tunatowa mkono wa pole kwa Mhe Hamad katika msiba huu mzito kuondokewa na kiungo muhimu katika maisha yake. Huu ni mtihani kwetu sote tutarejea kwake
Chanzo: Mzalendo
No comments :
Post a Comment