Mahojiano na Faria Zam kuhusu msaada wa watoto walemavu Zanzibar
Kwa wale wote wanaotembelea ukurasa huu tunawaomba kuchangia WATOTO wenye ulemavu Zanzibar. Kwa MTU yoyote mwenye MOYO wa kuchangia Standing Order kwa ACC 63972496. Sort Code 20.42.76. Jina: Hilmy Shawwal Barclays. Bank £ 1. £2. £3, etc etc CHANGIA Uwezo wako kama huna kitu japo MAWAZO yako yanahitajika kuongea na KUWAZA na muhusika. Insha-Aallah M/Mungu atakulipeni kwa imani zenu Ameen.
Kama upo nje ya Uingereza unaweza kuchangia kwa njia rahisi ya World Remit kupitia The People's Bank of Zanzibar Ltd. Tembelea hapa: www.pbzltd.com na baadae click SEND MONEY button. Ikiwa ni mara yako ya mwanzo kupeleka pesa kupitia agent wa PBZ Ltd basi hutolipa fees.
Pichani: Faria Zam muazilishi wa Hilmy Disability Charity Organisation nchini Uingereza akihojiwa na Abou Shatry wa Jamii Production Washington DC
Karibu katika mahojiano ya Jamii Production na Faria Zam a.k.a Ferry Butcher ambae ni muazilishi wa kusaidia watoto walemavu Zanzibar kupitia (Hilmy Disability Charity Organisation) kutoka nchini Uingereza pale alipopata fursa ya kuhojiana na Abou Shatry kuhusu maswali mbalimbali ya kusaidia watoto wa walimavu Zanzibar siku ya Ijumaa Jan 17, 2014 Washington DC.
Mahojiano haya yameandaliwa na mwanaharakati Anu Khelef kutoka Leicester nchini Uingereza
Karibu mjiunge nasi
Karibu mjiunge nasi
Msaada wakuchangia Watoto walemavu Zanzibar kupitia (Hilmy Disability Charity Organisation) kutoka nchini Uingereza kwaajili ya kusaidia michango mbalimbali yanayohitajikakwa kuwasaidia watoto wenye ulemavu Zanzibar.
Kwa anaetaka kuchangia chochote kile alichonacho kupitia Hilmy Disability Charity Organisation. Wasiliana na Mkurugezi wa Hilmy Disability Charity Organisation Faria Zam kwa number ya Simu. 745-501-4372
vpi arusha
ReplyDelete