Hizi nyumba ilikuaje zikajengwa juu ya mtaro wa maji machafu?????
Huku sio kujitakia balaa wenyewe????
Wapo wapi wahandisi wa majenzi wa mji????
Wenye nyumba wapi walipata vibali vya kujenga juu ya mtaro wa maji machafu????
Hii inasikitisha na kuhuzunisha pia!!!!
No comments :
Post a Comment