MKOA WA SONGWE WAPIGWA JEKI MIFUKO 125 YA CEMENT KUTOKA TPB
Mkuu wa MKOA mzima eti afanya hafla ya kupokea mifuko 125. Hio hasara ya hio hafla peke yake ni zaidi ya Shilingi milioni 2. Jamanai tuacheni kuidhalilisha nchi yetu kama hivi!
Unaudhalilisha MKOA mzima kwa Shiling milioni 2!!!
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa mifuko ya cement 125 kutoka benki ya Posta Tanzania (TPB)Tawi la Mbeya ,hafla ambayo imenyika katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Songwe Octobar 18 mwaka huu.
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi John Palingo akishukuru mara baada ya kupata msaada wa Cement1 kutoka benki ya Posta Tanzania (TPB)
Mkuu wa Mkoa Songwe Picha ya Pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Songwe na wadau mbalimbali .
<!--[if gte mso 9]> Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE
No comments :
Post a Comment