dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, November 4, 2016

TANZANIANS IN THE DIASPORA REACT TO LUKUVI'S RECENT VERY UNTHOUGHTFUL STATEMENTS!!!

http://lukemusicfactory.blogspot.ca/2016/11/diaspora-marufuku-kumiliki-ardhi-nchini.html

Also click here below to listen to the previous unthoughtful statement of Lukuvi on Zanzibar!
https://www.youtube.com/watch?v=vEmN617bMJ0

Above is Minister Lukuvi who continues to frustrate the genuine efforts of many in the Diaspora to build their country!

1 – 18 of 18
Anonymous Anonymous said...
Iddi! Thank you for highlighting this. You may recall our theme for the First Diaspora Homecoming Conference in 2014 was Connect, Engage, Inform & Invest. Our Motto for TDI is Nyumbani Ni Nyumbani. Nyumbani Is And Will Always Be Nyumbani. In Our Capacity As Your Foot Soldiers And Tanzania Diaspora Initiative Being The First And Only Private Sector Platform That Serves As A Soft Landing For And Between Tanzanians In Diaspora, Diaspora Returnees And The Government. We Have Taken The Matter To Heart And Are Currently In Pursuit of Points of Clarification. We Will Voice The Cause, The Impact Detrimental To All Contributing Efforts In National Development As Well As The Welfare And Being of The Diaspora And Their Dependent Families Back Home. What We Need Here Is More Ideas, Suggestions And Constructive Critique! For Years We Have Been Pushing For A Shift To Economic Diplomacy As Well As The Need For Our Diaspora To Not Necessarily Return Home But Invest Home, And Or Bring Investors And Their Investments Back Home. Via This Platform And Other Sources of Media Communication We Will Share Outcome of The Meetings And Results. Pole Kwetu Sote, May I Ask That We Maintain Though With Difficulty Calm As We Patiently Seek And Await For Clarity And Way Forward. Tusaidiane Kupeana Mawazo Yenye Tija Juu Ya Hili Swala Lakini Muhimu Zaidi Kusukuma Urasimishaji Wa Katiba Mpya...
November 3, 2016 at 12:35 PM
Anonymous Anonymous said...
Naishi Diaspora ingawa bado siyo raia. Hivi kweli kuwanyang'anya watanzania waliozaliwa nchi hii mali zao ni sahihi? Angalieni nchi nyingine za jirani zinavyofaidika na uraia wa nchi mbili jinsi zinavyopiga hatua. Nyumbani hakuna kazi leo watanzania wanajitahidi kwenda kutafuta maisha nje ya nchi kwa maendeleo ya nchi na ndugu zao walio Tanzania bado viongozi wa serikali wanawaonea wivu.....KWELI WASWAHILI WANA WIVU.....eti mnakula huku na huku. Kula gani huku na huku wakati watanzania wanaumia kufanya kazi kwa bidii kusapoti nchi na familia zao nchini? Hayo mabenki yataendelea kufa kwa kukosa pesa za mizunguko kwa ajili tu ya wivu wa Kiswahili kuwafanya watanzania walioko nje wasichukue uraia wa nchi nyingine ili wasipate advantages. Inasikitisha kuona bado viongozi wetu wana akili za mgando...Hivi nchi kama Marekani au Uingereza au Ufaransa na nyinginezo kuruhusu wananchi wa nchi nyingine wauchukue uraia wao walikosea???? Wao wangekuwa wa kwanza kukataa uraia wa pacha kutokana na rasilimali walizonazo nchini mwao, lakini wameruhusu watu wengine wauchukue uraia pacha.....HAWANA TATIZO. Tatizo bado nchi yetu inataka kuua system nzuri ya uwekezaji wa watanzania bila ya sababu zaidi ya wivu. Nina imani kwa jinsi serikali hii inavyofanya mambo yake baada ya muda maisha yatakuwa magumu kwa kila mtanzania kwa sababu mizunguko ya pesa itakuwa midogo na Diaspora wataogopa kuwekeza tena kwa kuhofia kupoteza mali zao.....Hivi huyu waziri na bosi wake Magufuli wanataka Watanzania zaidi ya milioni moja walio diaspora warudi watawapatia kazi? Kazi zenyewe zipo wapi uchumi wenyewe unayumba yumba.Siyo suala la ushabiki na kufurahia kuona ni sisi wenyewe katika zone hii ya Africa mashariki ambao hatukubaliani na uraia pacha bila sababu ya msingi.WIVU TU.
November 3, 2016 at 2:43 PM
Anonymous Anonymous said...
It is sad to here this but we all should have patience and have hope. For what I understand this is the matter of knowledge. We do have a lot of Universities back home but they do not keep up with the changing world. Leaders back home should learn from other countries and see what diaspora contribute economically. Looking back we still inherit leaders from back in the 70's and 80's, they still working for the benefit of their stomach and not for the country
November 3, 2016 at 3:20 PM
Anonymous Anonymous said...
From what I understood, the Minister said the Diaspora who are not allowed to own land in Tanzania are those who discarded their Tanzanian citizenship and are now citizens of other countries. May be the issue that people in Diaspora need to fight for is the recognition of dual citizenship, as other countries are doing.
November 3, 2016 at 5:07 PM
Anonymous Anonymous said...
Let's push for new/amendment of the Constitution
November 3, 2016 at 5:26 PM
Anonymous Anonymous said...
The comments from the anonymous respondent above should be re-written in simple understandable language. What are you saying? The comments by the Minister for Lands were alarming and unexpected, to say the least. We hope leaders of Diaspora Organizations can follow-up and share what is really happening. It's not a joke!!
November 3, 2016 at 5:34 PM
Anonymous Anonymous said...
Asante Iddi na mchangiaji. Muhimu SANA swala la katiba Mpya.. Na ndilo pia limeleta utata kwenye uchaguzi uliopita na mnaona kabisa nini kinachoendelea!! Savings for retirement is not a big issue!!.Labda Iddi kwa kuwa anahitaji wateja.
Kama ulifuatilia kauli ya mheshimiwa kuke Ziarani Kenya. Alisema waKenya wapatao elfu 50 ikiwa nchi ya kwanza Afrika kuwekeza Tanzania.!! Hawa hawa jirani zetu wana mpaka mashule ya Sekondari na mwaka juzi tulisikia mmoja akifutiwa shule kule kunakoitwa makao makuu!! Dodoma! (tunasubiria yawe) Hawa wenzetu sio wawekezaji tu wanaishi muda mrefu na wana miradi na majumba mengi kila kona. Leo iweje MTanzania aliyetoka nyumbani kutafuta na michango mingi misaada tunayotoa kwa taifa letu eti hawauhusiwi. Ina maana nilitoka nikiwa nimesharutubisha mji wangu na baadhi ya wanafamilia ndugu wanaishi leo sina haki huu ni utawala wa aina gani!. Mnalotakiwa kufanya wana Diaspora na Iddi ukiwa kiongozi mmojawapo ni kuunda kamati za uwakilishi kwa haya maswala. Wewe uliongoza jopo la waTanzania NURSE WANGU kuja kutoa huduma Tanzania bara na Zanzibar kwa mambo kama hayo na mengine mengi mnnayotoa. Mheshiwa Lukuvi Kauli za aina hii zinatupeleka wapi mbona CCM mnatuharibia nchi hii ya asali!
Ninyi wana Diaspora na uongozi mzima wa Dicota acheni kufanya yasiyo na msimgi na niwakati wa kurejea kwenye ajenda muhimu sana. Pia mna uwakilishi Ubalozi wetu wa Tanzania balozi hili nalo analiona la kawaida au naye ameduwazwa!? Hasikiki kabisa kama waliopita!? Kazi kweli!
Je yale aliyowaambieni mheshimiwa Itta alipokuja Amerika kabla ya uchaguzi kuwa Mtanzania yeyote anaishi nje akija nyumbani anaruhusiwa kuwekeza kufanya na atapewa kitambulisho maalumu kumuwezesha. Kadhawakadha. Au ilikuwa jeuri yake kutafuta kiki ya kuteuliwa mgombea?! Unajua acheni lelemama huko ughaibuni wekeni mawazo sio.kula nyama choma Swahili tuuh na bisherehe uchwara.! Mnapiga boxi sio kazi ndogo. Kiki nyingine hazina msingi.
Kwako Mheshimiwa LUKUVI kauli yako hata kwa sisi wanandugu hapa nyumbani inatutiwa wasiwasi na hatuiamini hii serikali yako kwani huko tulikotoka haya mambo yalikuwaje mnapokea tu hebu wasiliana na wataalamu wa fedha na Western Union,Mpesa na bemki wakueleze waTanzania walioko nje wametuma fedha kiasi gani nyumbani kusaidia wanafamilia na ndugu hasa kwa swala.la elimi kwa watoto wao ndugu# ndipo urekebishe kauli yako.kwa waTanzania walioko nje.!! Ni maajabu na majanga. Pull up.yr sockcy guys!
Mstaafu Kikwete alikuwa anakuja kila mwezi lakini bado.mlipwaya na aliwaambieni changamkeni acheni maneno. Sasa mnaye Juma Ponda Mali!!!!???@&&
November 3, 2016 at 7:35 PM
Anonymous Anonymous said...
Ushauri wangu kwa bwana Iddi na Diaspora kwa ujumla issue kama hii na umuhimu wake tupende kuxiandika kwa kiswahil kwani kuna wengi wanasoma na wanauwezo wa kutusaidia bila kujali elimu zao. Sote tumeathirika ila kiswahili ndo lugha mama mie nashauri tu
November 3, 2016 at 7:43 PM
Anonymous Anonymous said...
Nawaomba viongozi wa Tanzania watambue kwamba wenzetu wazungu, wahindi, wachina, n.k., ambao wamepewa uraia hapo Tanzania, huko kwao walikotoka nchi zao zinaendelea kuwapatia haki zote kwa asilimia mia moja.

Kama nchi yetu ya Tanzania inatoa uraia kwa watu wa nchi nyingine, ambapo hao watu wanaopewa uraia wa Tanzania wanaendelea kuwa na haki zote kwenye nchi zao walikotoka, inakuwaje viongozi wa taifa letu washindwe kuona umuhimu wa kulinda haki za watanzania ambao wapo nchi za nje????

Kwa kweli dunia nzima inatucheka. Inasikitisha mno kuona kwamba viongozi wetu wanafanya kila juhudi kuwanyanyasa watanzania wenzao.
November 3, 2016 at 8:12 PM
Anonymous Anonymous said...
Kiswahili please otherwise watu Tanzania hawasomi average ya watu home hawajui kumungunya
November 3, 2016 at 9:30 PM
Anonymous Anonymous said...
Raisi Kikwete alikuja hapa Edmonton, Canada, na katika mkutano wake na Watanzania alihimiza kwamba, tununue ardhi nyumbani na tujenge makazi yetu nyumbani na wala tusisubiri mpaka sheria ya uraia pacha ikamilike. Kwa maneno yake alisema nyumbani ni nyumbani, na ninyi ni watanzania wenzetu hakuna serikali itakayowanyanyasa. Akasema Mwisho wa siku sheria itabadilika kulinda haki za watu wote wenye asili ya kitanzania ambao wanaishi nje.

Tunaomba tu serikali ya sasa itafakari kwa makini kulinda haki za watanzania ambao wanaishi nje, pamoja na kwamba sheria bado hazijabadilika. Sheria zetu nyingi zimepitwa na wakati. Tunaomba serikali iende polepole wavute subira kuruhusu muda wa katiba na sheria kurekebishwa.
November 4, 2016 at 12:07 AM
Anonymous Anonymous said...
Hivi serikali yetu haijui jinsi tunavyoteseka huku ugaibuni? kupata kwetu uraia wa nchi nyingine ni kurahishisha maisha yetu sio kwa kukimbia nchi yetu. Mimi naona kumbe hata Tanzania kuna Mr Trump.
November 4, 2016 at 1:35 AM
Anonymous Anonymous said...
Hiyo sheria imekuwepo kwa mda mrefu, hata wakati Mafuguli akiwa waziri wa aridhi na nyumba, aliikuta na aka_iacha.
Swali ni why they want to implement it now.?
November 4, 2016 at 2:04 AM
Anonymous Anonymous said...
Solution is dua citizenship, ambayo ccm hawaitaki.
They started na wafanyabiashara wa sukari sasa ni zamu diaspora then who be next.
November 4, 2016 at 2:14 AM
Anonymous Anonymous said...
All E.African community members Kenya, Uganda, Rwanda and Burundi have dual citizenship except Tanzania.
Kwetu sisi kilakitu ni nongwa.
November 4, 2016 at 2:21 AM
Anonymous Anonymous said...
waziri wa ardhi acha jazba ! diaspora ni wakati sasa watambulike na

umuhimu wao muuthamini ! Uraia ni karatasitu , lakini Utaifa hauwezi kufutika ! kama sikosei serikali ya awamu iliyopita , iliwagawia uraia wa Tanzania ,wakimbizi wa Burundi 30,000 au zaidi ( mwenye kumbukumbu nzuri atanirekebisha ) ! huu ni wakati wakila diaspora kujua kua !, hili ni tatizo na nitatizo kubwa za?idi ya sisi wenyewe diaspora tunavyo liona ! kawa wali wezakuwapa akimbizi uraia ana shindwa nini kwa watanzania wa?zawa wanao saidia familia zao ?
November 4, 2016 at 3:00 AM
Anonymous Anonymous said...
This article is wrong, The minister was focusing on those Tanzanian took citizenship of other country. All Diaspora should be aware of this law once you become a citizen of other country you need to surrender your Tanzanian Passport. But, in the past nobody care about this, you can go to Tanzania with your foreign Passport and leave without an immigration officer to order you to surrender your Tanzanian Passport. This JPM Government in NOT business as usual, Government officials are paying attention on small details like that to protect their jobs.Diaspora should weigh for themselves if becoming citizen of other country will be more beneficial to them, otherwise they should keep their Tanzanian citizenship. For example for those residing in USA Green Card is more than enough unless you want to vote, you can live comfortably for years with Green Card. For those who became citizen of other country you can assign your mother's name on your investment (only mom) but if your mom is not alive don't bother to use other relatives to take care of your investments back home, you will greatly regret.
November 4, 2016 at 3:12 AM
Anonymous Anonymous said...
Tayari ndani ya mwaka mmoja amejitengenezea maadui wenge tu wa ndani , sasa ana taka kujiongezea wengine wa nje. Na wote ni wabongo. Some laws instead of implementing them it wise to be advocates of trying to change them. Kama alivyo jaribu kijana wetu Bernard Membe juu ya swala la uraia pacha.
November 4, 2016 at 5:22 AM

No comments :

Post a Comment