Kila ifikapo Septemba 21, Dunia huwa inaadhimisha siku ya amani, ambapo kwa Tanzania Mkurugenzi wa kituo cha Sheria na Haki za binadamu Dkt Hellen Kijo Bisimba akiyaoongoza mashirika 103 ya haki za binadamu, wametumia siku hiyo kwa kuvitaja viashiria vya uvunjifu wa amani ambavyo vimekuwa vikiongezeka kila uchwao, ikiwa ni pamoja na kauli za viongozi wa juu.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment